We capture your memories forever.

Showing posts with label Services. Show all posts
Showing posts with label Services. Show all posts

Saturday, January 6

MKANDARASI WA REA MBEYA NA SONGWE KUCHUKULIWA HATUA






Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Utengule Usongwe, Mbeya Vijijini (hawapo pichani) alipokuwa kwenye ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya.

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Utengule Usongwe, Mbeya Vijijini wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza kwenye ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (kushoto) akimsikiliza Mbunge wa Mbeya Vijijini, Oran Njeza (kulia aliyesimama) wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Utengule Usongwe, Mbeya Vijijini (hawapo pichani) alipokuwa kwenye ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya.

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Mtinika (aliyesimama) akizungumza wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (wa tatu kushoto waliokaa) ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (katikati) akiagana na Mbunge wa Mbeya Vijijini, Oran Njeza (kulia) mara baada ya kuzungumza na wananchi wa Kijiji cha Utengule Usongwe, Mbeya Vijijini wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini Mkoani Mbeya. Kushoto ni Meneja wa TANESCO Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Benedict Bahati.




Shirika la Umeme Tanzania limeagizwa kumchukulia hatua Mkandarasi ambaye ni kampuni ya wazawa ya JV State Grid Electrical & Technical Works Ltd aliyekuwa akitekeleza Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili (REA II) Mikoa ya Mbeya na Songwe kwa kushindwa kukamilisha katika baadhi ya maeneo kwa mujibu wa makubaliano.


Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu ametoa agizo hilo Januari 5, 2018 kwenye mkutano na wananchi wa Kijiji cha Utengule Usongwe, Mbeya Vijijini alipokuwa kwenye ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya Umeme Vijijini.


Mgalu alitoa agizo hilo kufuatia taarifa ya Meneja wa TANESCO Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Benedict Bahati ambaye alimueleza kuhusu kampuni hiyo iliyokuwa ikitekeleza Miradi katika Wilaya za Mbarali, Rungwe, Kyela na Ileje kushindwa kukamilisha miradi yake kama ilivyopaswa kulingana na mkataba.


Alisema Serikali haitowafumbia macho Wakandarasi walioshindwa kukamilisha utekelezaji wa Miradi waliyokabidhiwa kwa mujibu wa makubaliano na aliliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha Mkandarasi huyo anapatikana na hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa makubaliano ya awali.


“Serikali haijaribiwi, tutachukua hatua kwa Wakandarasi wote walioshindwa kutekeleza Miradi waliyokabidhiwa kwa mujibu wa Sheria; TANESCO na REA, hakikisheni Mkandarasi huyu anapatikana na hatua stahiki za kisheria zinachukuliwa dhidi yake,” alisema Mgalu.


Mgalu aliagiza Mkandarasi huyo apatikane ndani ya Siku Saba ili aeleze sababu za kushindwa kutekeleza mradi huo kwa kiwango kilichokubaliwa na kwa muda wa makubaliano. “Nataka ndani ya Siku Saba tukutane nae aeleze kwanini hajakamilisha mradi kwa mujibu wa mkataba wake,” alisema.


Aliongeza kuwa Serikali imedhamiria kuwainua Wakandarasi wazawa hata hivyo katika utekelezaji wa miradi hiyo ya REA, imedhihirika kwamba walio wengi wameshindwa kutekeleza miradi waliyokabidhiwa kwa mujibu wa makubaliano.Aidha, Naibu Waziri Mgalu alionya Wakandarasi waliopewa jukumu la kutekeleza Miradi ya Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) kuhakikisha wanatekeleza kwa mujibu wa mkataba na kwamba Serikali haitomvumilia Mkandarasi atakayekwenda kinyume.


“Wakandarasi mnaotekeleza mradi wa REA III; anayeona hawezi kazi atupishe; hatutomvumilia Mkandarasi anayeharibu kazi,” alionya Naibu Waziri Mgalu.Alisema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha Miradi ya Umeme Vijijini inakamilika kwa kiwango kinachokubalika na kwa wakati kama inavyoelekezwa kwenye mikataba waliyoingia na Serikali.


Naibu Waziri Mgalu yupo Mkoani Mbeya kwa ziara ya kukagua na kujiridhisha utekelezaji wa Miradi ya Umeme Vijijini hususan ya REA pamoja na kuzungumza na Wananchi na Wakandarasi kuhusiana na utekelezaji wake.

Monday, September 18

Zanzibar arrests 20 over homosexuality



Twenty people have been arrested on Tanzania’s semi-autonomous archipelago of Zanzibar for alleged homosexuality, police said.
The 12 women and eight men were picked up in a hotel where they were receiving training about HIV/AIDS education programmes.
Earlier this year, authorities banned many private health clinics from providing HIV services, saying they encouraged gay sex.
Homosexuality is a crime in Tanzania.
Regional police commander Hassan Ali Nasri said on state television: “They are implicated in homosexuality. We arrested them and are busy interrogating them. The police cannot turn a blind eye to this practice.”
On Friday, Deputy Health Minister Hamisi Kingwangalla vowed in front of parliament to “fight with all our strength against groups supporting homosexuality in our country,” AFP news agency reports.
In July 2016, the government banned the import and sales of sexual lubricants, with Health Minister Ummy Mwalimu saying it encouraged homosexuality which led to the spread of HIV/Aids, AFP added.
Gay male sex is punishable by up to 30 years in jail in the country.
Despite the ban on homosexuality, Tanzania was until recently tolerant toward gay people than many other African countries, but a rise in anti-gay rhetoric by government appears to have led to a spike in discrimination.
In July, human rights group Amnesty International said the authorities were “arresting and prosecuting people on homosexuality-related charges, and subjecting them to forced anal examinations.”
Agencies

National exams timetable won’t change: Matiang’i






By Citizen Reporter For Citizen Digital

Education Cabinet Secretary, Dr. Fred Matiang’i, has said the national examination timetable will not change despite ongoing row over fresh presidential poll date.

The Education CS said the schedules for secondary and primary school national examinations will not be affected if the electoral commission changes the presidential poll date later this week after President Uhuru Kenyatta and Raila Odinga teams hold talks. “Right now we are ready for the kick-off of exams. If IEBC will change the dates for fresh presidential election, it will not cause us to change scheduling of exams,” said Dr. Matiang’i.

Although the Independent Electoral and Boundaries Commission gazetted October 17 as new poll date, recent developments in the country’s political scene may compel electoral chairman Wafula Chebukati to change the poll date.

KNUT Secretary General, Wilson Sossion, also concurred with Dr Matiangi, insisting that the change in election date should not lead to postponement of Kenya Certificate of Primary Education and Kenya Certificate of Secondary Education exams.

KCPE and KCSE exams are scheduled to start on October 30 and November 6 respectively and the Education CS Matiang’i has assured all stakeholders that all preparations are ready.

Exams for visually impaired students will start on the October 23 while KCPE rehearsal is set to be held on October 30th.

Monday, August 14

Raila mulls next move on disputed election




By AFP for Citizen Digital

Kenya’s opposition leader Raila Odinga was weighing his next move Monday to contest an election he claims was rigged after defying pressure at home and from abroad to take his complaints to the courts.

The 72-year-old insists he was the rightful winner of a “stolen” election last week and has urged his supporters to stay away from work Monday to mourn the deaths of those killed in angry protests against the re-election of President Uhuru Kenyatta.However, after nearly a week in limbo in which businesses remained shut and workers stayed home, Nairobi largely came back to life on Monday with many unable to afford any more time away from their livelihoods.

Fruit vendor Alex Kilonzo returned to his stand on a busy street corner, even though many nearby had not reopened. “If I had money I could strike,” he told AFP.

“Life has to move on,” said IT worker Kenneth Kiruja as he headed into the office for the first time since Tuesday’s election, adding the opposition should take their grievances to court.

Odinga, a veteran opposition leader in Kenya, lost his fourth shot at the presidency, according to official results, and has repeated claims he made in 2007 and 2013 that the vote was rigged against him..

His loss sparked angry protests on Friday night and Saturday in his strongholds in the west of the country and in Nairobi slums, leaving 16 people dead according to an AFP tally. This includes a nine-year-old girl hit by a stray bullet.

Police have denied that innocent protesters have been killed, saying those shot dead had been armed and attacked officers, many while carrying out criminal acts such as rape and looting.

Ethnic grievances

The dispute has plunged Kenya into its worst political crisis since Odinga lost a 2007 election that many observers agreed was riddled with irregularities.

That election exposed decades-old political and ethnic grievances over access to power and land that sparked two months of violence in which 1,100 were killed and 600,000 displaced.

Three of Kenya’s four presidents have been Kikuyu and the other Kalenjin, leaving Luos and other major ethnic groups feeling excluded from power and marginalised for over half a century.

While there have been efforts to dilute the winner-takes-all nature of Kenyan politics, notably by devolving power to the counties, critics argue the underlying fault lines have merely been papered over.

As a grim reminder of this, members of Odinga’s Luo ethnic group and those from Kenyatta’s Kikuyu group clashed violently in Nairobi’s Mathare slum late Sunday with sticks, rocks, bows and arrows.

Mobs set on a Luo man, and then later in revenge a Kikuyu man, leaving them bloodied and motionless, as captured by two AFP photographers.

Nairobi police chief Japheth Koome denied the incident.

“We don’t have attacks in Mathare,” he told journalists.
‘No turning back’

Despite this isolated incident, protests in Odinga’s strongholds appeared to largely have fizzled out, as his supporters await his next move.

“We are not done yet. We will not give up. Wait for the next course of action which I will announce the day after tomorrow (Tuesday),” Odinga told a crowd of thousands in Nairobi’s Kibera slum on Sunday.

Later on Twitter he wrote: “There is no turning back”.

The United Nations, Britain, France and the European Union have beseeched Odinga to use legal means to address his concerns. Kofi Annan, who mediated the 2007/08 crisis, has warned Kenya’s political leaders to “be careful with their rhetoric and actions.”

Odinga and his National Super Alliance (NASA) claim the results from Tuesday’s election which came in via an electronic tallying system were hacked and manipulated.

Documents he has provided as evidence so far have been dismissed by the electoral commission, and it is unclear what Odinga will do next.

He lost a court dispute in 2013 when he alleged an election was rigged, and this time NASA has said court is not an option.

Odinga has until Friday to lodge a court complaint.

Matukio : Women Advance in Africa



Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akihutubia wakati wa kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam anakwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika

Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akihutubia wakati wa kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam anakwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika

Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Zamani Nchini ,Jaji Joseph Sinde Warioba kabla ya kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika

Baadhi ya Wanawake kutoka nchi Mbalimbali Walioshiriki Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam anakwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika



Waziri Mkuu wa Zamani Nchini ,Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza jambo na Mwanaharakati wa siku nyingi Getrude Mongela wakati wa Kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam anakwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika



Baadhi ya Wanawake kutoka nchi Mbalimbali Walioshiriki Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam anakwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika

Saturday, August 12

MESSAGE FROM MS IRINA BOKOVA, DIRECTOR-GENERAL OF UNESCO, ON THE OCCASION OF THE INTERNATIONAL YOUTH DAY, 12 AUGUST 2017




Youth Building Peace

The world has never been so young and it is getting younger every day. The development of any society depends on how well it nurtures its young women and men, how well they are supported.

In 2015, there were 1.2 billion young people in the world, and more than 600 million lived in fragile and conflict-affected contexts. Young people carry the heaviest burdens of conflict and violence -- they are also essential for any lasting solution leading to peace.

We have examples from across the world. NoushaKabawat teaches conflict resolution skills in refugee camps. Monday Collins is a former child soldier and an inspiring young peacemaker. Nadiehezka Palencia is a young human-rights lawyer working on the Colombian peace process. Each of them is a member of our #YouthofUNESCO community. Each is living proof that young people are already shaping the world for the better -- we need to recognise this and support them.

This is the spirit of United Nations Security Council Resolution 2250 on youth, peace and security, to engage and partner with young women and men, and their organizations, in promoting peace and preventing violent extremism. Youth stand at the heart of the 2030 Agenda for Sustainable Development, and UNESCO is working across the board to support them not as beneficiaries but as leaders, playing vital roles at local, national and global levels. This starts with work to create environments to empower young women and men as change-makers in their communities, to strengthen the foundations of dialogue and peace, especially in conflict or violence-affected areas.

On International Youth Day, let us all unite – international actors, governments, civil society and educational institutions -- to partner with young women and men to craft new paths together towards more peaceful societies.

Friday, August 11

DP Ruto, Raila and Kalonzo arrive at Bomas of Kenya


The National Super Alliance (NASA) presidential candidate, Raila Odinga, has arrived at the National Tallying Centre at the Bomas of Kenya ahead of the announcement of the winner in Tuesday’s presidential election.

The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) Chairman, Wafula Chebukati, said the polls body will announce the winner in the race for President on Friday, August 11.

Raila was accompanied to the Bomas of Kenya by NASA’s chief agent Musalia Mudavadi and alternate chief agent, James Orengo.

A few minutes later, Raila’s running mate, Kalonzo Musyoka, made his way to the Bomas of Kenya.

Shortly after Kalonzo’s arrival, Deputy President William Ruto, made his way to the National Tallying Centre ahead of the big announcement.

With 99.12 per cent of results from polling centers tallied – as at 1:00 pm –, Uhuru had garnered 8,175,227 votes (54.25 per cent) compared to Odinga’s 6,762,820 (44.86 per cent).

On Thursday (August 10), Odinga made an allegation against the IEBC, saying the ICT system of the Commission was hacked to skew figures in favour of President Uhuru Kenyatta.

The IEBC, through its Chair, Wafula Chebukati, and CEO, Ezra Chiloba, however denied Odinga’s claims, saying there were attempts to hack into the IEBC’s ICT system, but the unknown hackers’ efforts were unsuccessful.

Meanwhile, international observers, led by former United States Secretary of State, John Kerry, gave the IEBC a clean bill of health, saying that the electoral referee was fair in its conduction of the entire process.

President Uhuru Kenyatta’s security team, his official seat, and his protocol officers arrived at the Bomas of Kenya in Nairobi shortly after 10:00 am in anticipation of the announcement of the winner in the August 8 presidential race.

Pictures from the Bomas of Kenya show a myriad activities taking place, with sources saying President Kenyatta’s security team arrived at the Bomas of Kenya as early as Thursday evening.

Sources further say the Head of State was at his Gatundu home in Kiambu County Friday morning, when the arrangements were ongoing.

Deputy President William Ruto is also expected to make his way to the Bomas of Kenya Friday afternoon.

Foreign Affairs Cabinet Secretary, Ambassador Amina Mohamed, and her Defense counterpart, Raychelle Omamo, had arrived at the Bomas of Kenya as at 10 am Friday.

Energy Cabinet Secretary, Charles Keter, his Tourism counterpart, Najib Balala, Water CS Eugene Wamalwa, among others made their way to the Bomas of Kenya at 11:15 am Friday.

Other state dignitaries present at the Bomas of Kenya include: Foreign Affairs Principal Secretary, Ambassador Monica Juma and Government spokesperson, Eric Kiraithe.

Garissa town MP-elect, Aden Duale, who was the Majority Leader in the 11th National Assembly, also made his way to the Bomas of Kenya 11 am Friday.

United States Ambassador to Kenya, Robert Godec, also made his way to the Bomas of Kenya, where he addressed the media at 11:20 am, urging Kenyans to maintain peace regardless the outcome of the election.

“Democracy is never easy and is always a work in progress,” said Mr Godec.

British High Commissioner to Kenya Nic Hailey was also present.

The preparations went on with data on IEBC website showing President Kenyatta was ahead of NASA presidential candidate Raila Odinga with over 1.4 million votes. Source : Citizen Digital

Tuesday, August 8

RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU TANO MKOANI TANGA






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza madiwani na viongozi wengine baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akienda kuagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mmoja wa wa wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Moja ya mabango yaliyokuwa na ujumbe wa changamoto mbalimbali za Korogwe

Wengi walikuwa na kiu ya kusikilizwa kero zao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza diwani wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama kwa muda na kuongea nao katika kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017




Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulisha viongozi alioongozana nao kwa wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsimiliza mwalimu wa shule ya msingi ya Msima aliposimama kuzungumza na wananchi kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akielezea changamoto mbalimbali za wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi shilingi milioni 5 taslimu Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi ya Msima kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya shule katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017


Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukiingia mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika nyumba ya aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe alipowasili wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akipungia wanannchi alipowasili katika uwanja wa mikutano wa Kibaoni kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwakipungia wananchi wa Handeni alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia viongozi wa dini na wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akikaribisha wageni wake wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017




Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa Handeni katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara ya Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitolea ufafanuzi baadhi ya changamoto wilayani humo leo Agosti 7, 2017

Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli

Rais Magufuli akimfariji mwananchi huyo kwa matatizo yaliyomsibu

Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Msafara wa Rais Magufuli ukiendelea na safari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wananchi wa Manga aliposimama kwa muda kuongea nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali wakati Rais Magufuli aliposimama kwa muda katika kijiji cha Kwachaga

Mafundi mitambo wa TBC wakiwa makini kuhakikisha matangazo yanaruka mubashara bila shida

Mkulima wa kijiji cha Manga akieleza kero wazipatazo kwa wafugaji katika kata ya Kwachuma

Mmoja wa viongozi wa wafugaji akifafanua hali ilivyo kata ya Kwachuma

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitoa maelezo ya changamoto mbalimbali katika kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiagiza kuondolewa kwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mazingara baada ya wananchi na Mkuu wa Wilaya kudai amekuwa akitoa uamuzi usiotoa haki kwa wakulima

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akimuaga rasmi Rais Dkt. Magufuli na kumshukuru kwa kutembelea mkoa huo kwa siku tano

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiaga wananchi wa kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

Kabla ya kuondoka Rais Dkt. Magufuli aliongea na wanafunzi wa shule za kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akiongea na wanafunzi wa shule za kata ya Kwachuma

Rais Dkt. Magufuli akimsikiliza mwanafunzi Mwajuma Omari Mbwewe
Rais Dkt. Magufuli akijibu maswali ya mwanafunzi huyo wa shule za kata ya Kwachuma

Rais Dkt Magufuli akiagana na mwanafunzi Mwajuma Omari Mbwewe baada ya kujibu maswali yake

Akiwa njiani msafara wa Rais Dkt. Magufuli ulisimamishwa na umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ikambidi asimame na kuongea nao

Umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ukimsikiliza Rais Magufuli

Rais Dkt. Magufuli akiongea na umati mkubwa wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Rais Dkt. Magufuli akisikiliza kero za wafanyabiashara wadogo maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Kama kawaida ujumbe ulikuwepo

Rais Dkt. Magufuli akimfariji mmoja wa wafanyabiashara wadogo waliopata changamoto eneo la Bunju A

Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Picha na IKULU